Balozi wa Tanzania nchini Marekani Bi. Mwanaid Maajar akiwasili kwenye Dhifa ya kuadhimisha siku ya Afrika Washington D.C
Wajumbe na wageni kadhaa walioalikwa kwenye sherehe hizo za siku ya Afrika Washington D.C
Dr. Asha Rose Mgiro akiwa na mama Mwanaid Maajar leo Washington D.C
Baadhi ya maafisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani akiwemo Dr. Suitbert Mkama na Suleiman Saleh wakiwa katika picha ya pamoja na Mama Migiro pamoja na Balozi Mwanaidi Maajar Washington D.C leo.
No comments:
Post a Comment