Pages

Thursday, May 24, 2012

DHIFA YA KUSHEHEREKEA SIKU YA AFRIKA YAFANA NDIVYO WASHINGTON D.C

Naibu katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Dr. Asha Rose Migiro akihutubia kwenye dhifa ya kuadhimisha siku ya Afrika iliyofanyika Washington D.C

Balozi wa Tanzania nchini Marekani Bi. Mwanaid Maajar akiwasili kwenye Dhifa ya kuadhimisha siku ya Afrika Washington D.C

Wajumbe na wageni kadhaa walioalikwa kwenye sherehe hizo za siku ya Afrika Washington D.C

Dr. Asha Rose Mgiro akiwa na mama Mwanaid Maajar leo Washington D.C

Baadhi ya maafisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani akiwemo Dr. Suitbert Mkama na Suleiman Saleh  wakiwa katika picha ya pamoja na Mama Migiro pamoja na Balozi Mwanaidi Maajar Washington D.C leo.

No comments:

Post a Comment