Pages

Thursday, May 24, 2012

MARAIS WASTAAFU WAKUTANA NCHINI AFRIKA KUSINI

Maraisi wastaafu Mh. Mkapa na Mh. Ally Hassana Mwinyi wakielekea mkutanoni.

Marais wastaafu Afrika akiwemo rais Mkapa na Nicephole Soglo wakiwasili nchini Afrika ya kusini kwenye mkutano wa marais wastaafu wa Afrika.
          Mkutano huo ukiendelea leo nchini Afrika Kusini.

Baadhi ya Marais kitoka nchi mbali mbali wakimsikiliza Mh. Mkapa kwenye mkutano huo.

Rais mstaafu wa Tanzania Mh. Benjamini W. Mkapa wakichangia maada wakati mkutano wa Marais watsaafu wa Afrika nchini Afrika ya Kusini.

No comments:

Post a Comment